ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

LIFAHAMU ZAIDI JIJI LA DAR ES SALAAM

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
August 25, 2022
in NEWS
Reading Time: 4 mins read
A A
0
LIFAHAMU ZAIDI JIJI LA DAR ES SALAAM
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Historia ya Jiji la Dar es Salaam;

millardayo on Twitter: "Muonekano wa jiji la Dar es salaam, Tanzania leo March 2, 2017 https://t.co/QRVw16XuVT" / TwitterJiji la Dar es Salaam lipo kati ya Latitudo nyuzi 6 hadi 7 na Longitudo kati 39.45 kwa upande wa Mashariki na nyuzi 39 kwa upande wa Magharibi, Kusini mwa Ikweta na upande wa Magharibi, Kusini na Kaskazini. Jiji linapakana na Mkoa wa Pwani, upande wa Mashariki linapakana na Bahari ya Hindi, ambapo kuna ufukwe wenye urefu wa km. 124 unaoanzia Pemba Mnazi hadi Mbweni.

Jiji la Dar es Salaam lina eneo la ukubwa wa kilomita za Mraba zipatazo 1,800; kati ya hizo, kilomita za mraba 1,350 ni eneo la nchi kavu ikijumuisha visiwa vinane vilivyopo katika eneo la bahari ya Hindi na kilomita za mraba 450 ni eneo la maji ya bahari. Eneo la Jiji la Dar es Salaam ni sawa na asilimia 0.2 ya eneo la nchi nzima ambalo ni kilomita za mraba 881,289.

Hali ya Hewa

Jiji hili lina hali ya hewa ya Joto ya Pwani ya Tropical, likiwa na wastani wa nyuzi joto 25 hadi 33 sentigredi na wastani wa mvua wa mililita 1,000 katika misimu miwili ya vuli ambayo ni miezi ya Oktoba – Desemba na Masika ambayo huanza miezi ya Machi – Mei. Wakati mwingi Jiji hutawaliwa na pepo zivumazo toka baharini zikitokea Kusini, Mashariki na Kaskazini mwa Bahari ya Hindi.

Idadi ya watu

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 Jiji lina idadi ya watu 4,364,541, ambapo kati yao wanaume ni 2,125,786 na wanawake ni 2,238,755. Aidha, idadi ya watu imekua ikiongezeka kwa wastani wa asilimia 5.6 kwa mwaka. Wastani wa watu kwa kila kilomita moja ya mraba ilikuwa ni 3,137 na ukubwa wa Kaya ni wastani wa watu 4 kwa Kaya. Kwa ongezeko hilo la watu kwa mwaka, Jiji la Dar es Salaam mwaka 2018 linakadiriwa kuwa na idadi ya watu 6,107,473. Idadi hii ya watu inaongeza msongamano wa watu wanaokadiriwa kuwa 4,383 kwa kila kilometa moja ya mraba.

Historia ya Halmashauri ya Jiji

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuwa inaliongoza Jiji kutoka mwaka 1961 mpaka mwaka 1972, ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilizivunja Halmashauri zote nchini na kuwa chini ya Usimamizi wa Serikali Kuu (Madaraka Mikoani)

Serikali Kuu ilizirudisha Serikali za Mitaa Nchini, Chini ya Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) na. 8 ya mwaka 1982, ambapo Halmashauri ya Jiji ilianza kutekeleza majukumu yake ya kutoa huduma kwa wananchi kuanzia mwaka 1983.

Mwaka 1996 Serikali Kuu iliivunja Halmashauri ya Jiji na kuunda Tume ya Jiji la Dar es Salaam, kwa Tangazo la Serikali Na. 110 na 111 ya tarehe 28 Juni mwaka 1996.

Tume ya Jiji ilifanya kazi kwa kipindi cha miaka minne, ambapo mwaka 2000 Serikali iliunda mamlaka nne za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Dar es Salaam kwa sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Na. 8 ya Mwaka 1982, kama ilivyo rekebishwa kwa sheria na. 6 ya mwaka 1999.

Utawala

Kiutawala Jiji limegawanyika katika Halmashauri sita za Serikali za mitaa ambazo ni:

  • Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam
  • Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
  • Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni
  • Halmashauri ya Manispaa ya Ilala
  • Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo na
  • Halmashauri ya Manispaa ya KigamboniLocal

Muundo

Halmashauri ya Jiji inaundwa na Baraza la Madiwani, Idara tano na Vitengo vinne.

Baraza la Madiwani

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam linaundwa na Madiwani 26 kutoka katika Manispaa tano za Jiji la Dar es Salaam na linawakilishwa na Wajumbe wafuatao: Mameya 5, Madiwani 16 na Wabunge 5.

Mstahiki Meya wa Jiji ni Kiongozi Mkuu na Mkurugenzi wa Jiji ni Mtendaji Mkuu kwa upande wa Serikali za Mitaa. 

Majukumu ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam iliundwa na kupewa majukumu ya kuratibu na kusimamia shughuli za uendelezaji wa Jiji katika Halmashauri za Manispaa zote tatu. Majukumu hayo ni kwa mujibu wa Sheria za serikali za mitaa (Mamlaka za Miji) Na.8 ya mwaka 1982 kifungu cha 69A kama ilivyorekebishwa na sheria Na.6 ya mwaka 1999.

Majukumu hayo ni kama ifuatavyo:

  • Kuratibu Mamlaka na wajibu wa kila Halmashauri za Manispaa juu ya miundombinu na matumizi bora ya ardhi.
  • Kuandaa Mpango Mkakati kwa ajili yakuhakikisha kuwa panakuwepo na maendeleo endelevu ya Jiji
  • Kukuza ushirikiano kati ya Mamlaka za Halmashauri zote zilizopo katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
  • Kushughulikia masula yote yanayohusu ushirikiano kati ya Malmaka za Serikali za Mitaa zilizopo katika Jiji la Dar es Salaam.
  • Kuhakikisha panakuwepo amani na utulivu pamoja na kutoa msaada katika huduma kama vile Zimamaoto na maokozi, Polisi na magari ya kubeba wagonjwa.
  • Kutekeleza majukumu mengine yoyote kama itakavyokubalika na Halmashauri nyingine zilizopo.
  • Kutekeleza majukumu ya itifaki na sherehe za Kimkoa au /na Kitaifa.

Uboreshaji wa Muundo wa Jiji la Dar es Salaam kuwa mamlaka sita umeleta ufanisi mkubwa katika utoaji bora wa huduma kwa jamii kwani madaraka yamesogezwa karibu zaidi na wananchi.

HII NDIYO HISTORIA YA JIJI LA DAR ES SALAAM - YouTube

Tags: DAR ES SALAAM
ADVERTISEMENT
Previous Post

FAHAMU JINSI YA KU-SCREENSHOT KWENYE KOMPYUTA

Next Post

Wizara ya Afya Yaendelea Kuboresha Huduma katika Vituo vya Afya

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

by ALFRED MTEWELE
January 27, 2023
0

Ndugu na jamaa wa Mtanzania Nemes Tarimo wameupokea mwili wa kijana huyo leo alfajiri katika uwanja wa ndege wa Jijini...

Read more
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

January 27, 2023
DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

January 26, 2023
SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

January 26, 2023
NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

January 26, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

January 26, 2023
Load More
Next Post
Wizara ya Afya Yaendelea Kuboresha Huduma katika Vituo vya Afya

Wizara ya Afya Yaendelea Kuboresha Huduma katika Vituo vya Afya

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

January 27, 2023
Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Memes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

January 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

January 27, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In