ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, February 4, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Februari 3,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Februari 3,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Benki ya Mwanga Hakika Yafanya Mkutano Mkuu wa Pili na Wanahisa Wake.

Mwanga, Kilimanjaro

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
August 29, 2022
in BUSINESS NEWS
Reading Time: 4 mins read
A A
0
Benki ya Mwanga Hakika Yafanya Mkutano Mkuu wa Pili na Wanahisa Wake.
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Benki ya Mwanga Hakika yafanya mkutano mkuu wa pili na wanahisa wa benki
hiyo yaani AGM (Annual General Meeting) wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, kwenye ukumbi wa
Baobab Retreat Hall, siku ya Jumamosi 27 Agosti 2022.
Mkutano huu una lengo la kutimiza sheria ya nchi, itakayo kila kampuni kufanya mkutano mkuu na
wanahisa wao kila mwaka. Mbali na hayo,mkutano huo ulikuwa na lengo la kuimarisha uhusiano uliopo
baina ya wanahisa hao na benki hiyo, ili kuwataarifu wanahisa hao kuhusu benki hiyo ilipotoka, ilipo na
pia inapokwenda ili kuweza kupata taarifa kamili na Ili wanahisa hao waweze kutathmini maendeleo ya
benki hiyo na kubaini changamoto ili ziweze kutatuliwa. Na waweze kutoa ushauri juu ya maswala ya
kimaendeleo yatakayo ikuza benki hiyo na kuwa imara zaidi.
Mkutano huu ni mkutano wa pili na wanahisa wa benki ya Mwanga Hakika, ambapo mkutano wa
kwanza ulifanyika mwaka jana (2021) na kuhudhuriwa na wanahisa mbalimbali, kwa lengo la kuimarisha
uhusiano wao na wanahisa wa benki hiyo. Pia mikutano hii ina chachu ya kukutanisha wanahisa kwa
pamoja na kudumisha umoja na mshikamano wao.
Mbali na hayo, benki ya Mwanga Hakika imefanya mkutano huo wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro
kwasababu benki hiyo chimbuko lake ni Mwanga ambapo ilianzishwa mnamo mwaka 2000, ikiwa
inaitwa Mwanga Community Bank (Benki ya Wananchi Mwanga) na baadhi ya wanahisa waliohudhuria
mkutano huo ni waasisi, kwani walikuwepo tangia benki hiyo ilipokuwa change. Na kama wasemavyo
Waswahili “Mcheza Kwao Hutuzwa”. Benki ya Mwanga Hakika inatambua hilo na kuenzi msemo huo.
Mkutano huo uliohudhuriwa na Wanahisa zaidi ya 300, wakiwemo waasisi na viongozi mbalimbali wa
benki hiyo nao ni, Eng.Ridhiwani Mringo ambaye ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa benki ya
Mwanga Hakika, pia Mhe.Cleopa Msuya(Aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu Mstaafu, Mwanahisa
wa benki ya Mwanga Hakika, na mshauri wa benki hiyo), Eng. John K Msemo (Mkurugenzi) CPA (T) Zukra
Ally (Mjumbe wa bodi) Bw. Christopher Mageka (Mkaguzi wan je wa mahesabu), Mwakilishi kutoka
Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Leodgara A. Haule na wengine wengi.
Kabla ya mkutano huo kulikuwa na semina na wanahisa, ambapo waliweza kutoa maoni, pongezi na
kutaka ufafanuzi juu ya maendeleo ya benki hiyo miaka ijayo. Pia Mjumbe wa bodi CPA (T) Zukra Ally,

alitoa elimu ya uwekezaji kwa njia ya hisa, na alieleza kuhusu gawio la wanahisa, ununuaji na uuzaji wa
hisa, na kueleza baadhi ya sheria zinazoongoza benki hiyo. Na kusema kuwa “Sheria ya mapato (2004)
inayodhibiti masuala ya teknolojia na tehama sababu mabenki yanakuwa na mtandao mkubwa ila
kupitia sharia hizi kunakuwa na siri baina ya mabenki na watu wao”.
Na aliongeza kuwa, “Katika ulimwengu wa leo, kampuni zenye hisa ndio chombo madhubuti ya
kuwekeza biashara,mradi tu kuwepo na uimara wa bodi,menejiment ya wwenye taaluma ya biashara
husika kama ifanyavyo benki ya Mwanga Hakika, hivyo msisite kuweka hisa zenu’’.
Ambapo mmoja kati ya wanahisa hao, Bwana. Josephat Shirima alisema kuwa “Nipende kupongeza
uongozi wote wa benki ya Mwanga Hakika kwa tukio hili linaonyesha kuwa mnatambua mchango wetu,
ningeomba pia kama kuna uwezekano tawi mojawapo liwe ni kwa jina la Mhe. Cleopa Msuya, ili
kuonyesha kwamba tunatambua mchango wake kwenye benki hii,kwani amepigana vema tangu benki
hii ilipokuwa benki ya Wananchi hadi hivi leo”.
Kwenye mkutano huo, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Mwanga Hakika, Eng. Ridhiwani
Mringo, alieleza mapato na matumizi kwa mwaka ulioishia 31 Disemba 2021, utekelezaji wa mpango wa
biashara kwa mwaka mmoja uliopita, na kuteua wajumbe wa bodi kwa mwaka 2021/2022.
Mbali na hayo,kwenye mkutano huo yalijadiliwa mapendekezo kutoka kwa wanahisa, na mwanahisa
mmoja aliipongeza benki na alipendekeza benki kuongeza mawakala wa kutosha, pia kuongeza
matangazo, ili benki ijulikane vizuri.
Pia, Mhe.Cleopa Msuya, Waziri Mkuu mstaafu, alitoa historia fupi ya jinsi walivyoanzisha Mwanga
Community Bank (Benki ya Wananchi Mwanga) na kusema kuwa “Tulipoanzisha benki hii tulikuwa na
lengo la kuwa benki ya jamii, na nipende kumpongeza Mwenyekiti wa Bodi pamoja na bodi yake kwa
kazi kubwa walioifanya na naomba muendelee na kazi nzuri ambayo mmeianzisha, vilevile nipende
kuwaomba wanahisa wote kutafakari jinsi benki hii inavyowasaidia kimaendeleo”.
Aliongeza kuwa “Nipende kuomba benki hii iendelee na mchakato wa kuwa benki kubwa ya biashara, na
isisahau kuhudumia wateja wadogo wadogo ambao ndio walikuwa lengo kuu la kuanzishwa wka benki
hizi za kijamii”.
Na Mwakilishi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Bw. Leodgar A. Haule, aliipongeza benki kwa kufanya
vizuri kwa kipindi cha muda mfupi na aliipongeza kwa mtaji ambao umepata hadi kufikia hatua ya kuwa
benki ya biashara. Na kusema kuwa “Nipende kuwapongeza wote,hasa uongozi wa benki ya Mwanga
Hakika pamoja na wanahisa wote kwa juhudi mzifanyazo kuhakikisha benki hiyo inapata maendeleo
zaidi, pia niiombe benki hii iendelee kufanya kazi kwa bidi na kufuata sheria mbalimbali zilizopo.
Aidha, alisema kuwa, Benki Kuu, itaendelea kusimamia na kutoa ushauri kwa benki kama msimamizi
mkuu wa Mabenki nchini.

MWISHO//.

Mhe.Cleopa Msuya (Waziri mkuu mstaafu, mshauri na mwanahisa wa benki ya Mwanga Hakika) akizungumza na wanahisa kwenye mkutano mkuu wa pili uliofanyika 27-08-2022 Wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro.Huyu ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Mwanga Hakika,Eng.Ridhiwani Mringo akizungumza na wanahisa wa benki ya Mwanga Hakika,wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

 

Tags: mhbbank
ADVERTISEMENT
Previous Post

WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA WAHIMIZWA KUTUMIA VIZURI MISAADA INAYOTOLEWA NA WAHISANI.

Next Post

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 30 AGOSTI,2022

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma
BUSINESS NEWS

Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma

by iamkrantz
February 2, 2023
0

    Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma. Pichani, Meneja wa Kanda...

Read more
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

January 30, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

January 27, 2023
Benki ya NMB Yajivunia Mchango wa Wadau Kufikia Mafanikio Yake ya Mwaka 2022

Benki ya NMB Yajivunia Mchango wa Wadau Kufikia Mafanikio Yake ya Mwaka 2022

January 26, 2023
BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA MIL. 24 KWAAJILI YA SHULE YA MAJI MATITU NA CHARAMBE

BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA MIL. 24 KWAAJILI YA SHULE YA MAJI MATITU NA CHARAMBE

January 24, 2023
Load More
Next Post
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 30 AGOSTI,2022

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 30 AGOSTI,2022

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

February 1, 2023
Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

February 2, 2023
YANGA YATAMBULISHA JEZI MPYA KUTUMIKA SHIRIKISHIO,CAF

YANGA YATAMBULISHA JEZI MPYA KUTUMIKA SHIRIKISHIO,CAF

January 31, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 2,2023

February 2, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

February 3, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

February 3, 2023
SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

February 3, 2023
PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

February 3, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In