ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 30 AGOSTI,2022

Barani Ulaya

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
August 30, 2022
in SPORTS
Reading Time: 6 mins read
A A
0
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 30 AGOSTI,2022
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo anaweza kuondoka Manchester United na kuelekea Napoli wiki hii. Mshambuliaji wa United wa Ureno, 37, ameanza mechi moja pekee ya Ligi Kuu msimu huu. (Metro)

Tottenham wako kwenye mazungumzo kuhusu uwezekano wa kumnunua winga wa Leeds United na Wales Daniel James, 24, kabla ya tarehe ya mwisho ya uhamisho ya Alhamisi saa 23:00 BST. (Fabrizio Romano)

Wakati huo huo, Spurs wamefufua nia yao ya kumnunua kiungo wa kati wa Atletico Madrid na Ubelgiji Yannick Carrasco, 28. (Telegraph – usajili unahitajika)

Pia unaweza kusoma:

  • Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 29.08.202229 Agosti 2022
  • Je, klabu ya Barcelona ni ‘mfamaji anayetapatapa’?29 Agosti 2022

Chelsea itafuatilia usajili wa pauni milioni 70 wa beki Mfaransa wa Leicester Wesley Fofana, 21, kwa kushinikiza uhamisho wa mshambuliaji wa Barcelona wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 33. The Blues pia wanataka kumsajili winga wa Everton Mwingereza Anthony Gordon, 21, wiki hii. (Guardian)

Wesley Fofana

CHANZO CHA PICHA,REUTERS

Aston Villa wana hamu kubwa ya kumnunua kocha wa Brighton Graham Potter kama mbadala wa Steven Gerrard, ambaye amepoteza mechi tatu kati ya nne za kwanza za ligi msimu huu. (Football Insider)

Newcastle wanamtaka kiungo wa kati wa Chelsea Mfaransa Tiemoue Bakayoko, 28, ambaye yuko AC Milan kwa mkopo wa miaka miwili. Nottingham Forest pia wanamwania mchezaji huyo. (Calciomercato – kwa Kiitaliano)

Crystal Palace wametoa ofa ya pauni milioni 27 kumnunua kiungo wa kati wa Chelsea na Muingereza Conor Gallagher, 22, ambaye alivutia alipokuwa kwa mkopo na The Eagles mnamo 2021-22. (Times- usajili unahitajika)

Tiemoue Bakayoko

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Newcastle wanamtaka kiungo wa kati wa Chelsea Mfaransa Tiemoue Bakayoko

Beki wa Arsenal na Uhispania Hector Bellerin, 27, anaweza kujiunga na Real Betis, ambapo alikuwa kwa mkopo msimu uliopita. Bellerin hajaichezea The Gunners tangu Mei 2021. (Estadio Deportivo – kwa Kihispania)

Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25, atasalia katika klabu hiyo licha ya kuhusishwa pakubwa na Manchester United na Chelsea wakati wa uhamisho wa majira ya joto. (Football Espana)

Hata hivyo, De Jong anasafiri kwenda Uingereza kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili la majira ya kiangazi, na hivyo kuzua uvumi kuhusu mustakabali wake. (Mirror)

Frenkie de Jong

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong kusalia Barca

Aston Villa na Wolves zote zina nia ya kumsajili beki wa West Ham Muingereza Craig Dawson, 32. (Sun)

Juventus watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Aston Villa na Brazil Douglas Luiz, 24, wakishindwa kufikia makubaliano na Paris St-Germain kumhusu Leandro Paredes, 28 wa Argentina. (Sky Sport Italia – kwa Kiitaliano).

Beki wa Liverpool na Uholanzi walio chini ya umri wa miaka 21 Sepp van den Berg, 20, anatazamiwa kujiunga na Schalke kwa mkopo. (The Athletic-Usajili unahitajika)

Aston Villa's Douglas Luiz

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Mchezaji wa Aston Villa Douglas Luiz

Leicester City wanafanya mazungumzo na Schalke kuhussu usajili wa kiungo wa kati wa Morocco Amine Harit, 25. (Sky Sports)

Fulham wamefikia mkataba na Paris St-Germain kumsajili beki wa Ufaransa Layvin Kurzawa, 29, wakati The Cottagers pia wanafanya juhudi za kumnunua winga wa Roma Mholanzi Justin Kluivert, 23. (Mail)

Tags: CRISTIANO RONALDO
ADVERTISEMENT
Previous Post

Benki ya Mwanga Hakika Yafanya Mkutano Mkuu wa Pili na Wanahisa Wake.

Next Post

Benki ya CRDB yafungua Tawi Jipya Wilayani Lushoto.

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

by ALFRED MTEWELE
January 26, 2023
0

Uongozi wa Klabu ya Simba leo majira ya mchana Januari 26,2023 umemtangaza rasmi Imani Kajula kuwa mwajiliwa katika klabu hio...

Read more
EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

January 25, 2023
OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

January 24, 2023
Al Hilal ya Sudan  yatarajiwa kuja nchini kesho

Al Hilal ya Sudan yatarajiwa kuja nchini kesho

January 24, 2023
KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

January 24, 2023
ZINAZOKIKI: BASI LA SIMBA SC LIMEUZWA

ZINAZOKIKI: BASI LA SIMBA SC LIMEUZWA

January 20, 2023
Load More
Next Post
Benki ya CRDB yafungua Tawi Jipya Wilayani Lushoto.

Benki ya CRDB yafungua Tawi Jipya Wilayani Lushoto.

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

January 27, 2023
TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

January 27, 2023
META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

January 26, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In