#HABARI ZA HIVI PUNDE: Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez ameujuza umma kuhusu Klabu ya Simba kusitisha mkataba wake na Kocha mkuu wa Klabu hio Zoran Maki hii leo.
Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.
Vodacom M-Pesa na Precision Air waemingia ushirikiano ambao utawawezesha wateja kukata tiketi ya ndege kupitia applikesheni ya M-Pesa Super...
Read more