Klabu ya Simba imemtambulisha Juma Mgunda ambaye awali aliwahi kuwa kocha msaidizi katika kikosi cha timu ya Taifa Tanzania kuwa ndiye kocha mkuu akichukua nafasi ya Kocha mkuu aliyeondoka siku chache hapo nyuma Zoran Maki baada ya kusitisha mkataba naye. Juma Mgunda ameitumikia klabu ya Coastal Union katika nafaasi ya ukocha pia, ambayo makao yake yanapatikana mkoani Tanga kabla ya kutambulisha rasmi katika klabu hii.
Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.
Vodacom M-Pesa na Precision Air waemingia ushirikiano ambao utawawezesha wateja kukata tiketi ya ndege kupitia applikesheni ya M-Pesa Super...
Read more