ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, February 4, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Februari 3,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Dkt. Jafo: “Huenda zaidi ya Sh. Trilioni 1 Zikapatikana kwa Mwaka Kutokana na Biashara ya Kaboni”

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Februari 3,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Rais mpya wa Kenya kuapishwa leo

Kenya, Afrika mashariki

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
September 13, 2022
in INTERNATIONAL NEWS
Reading Time: 3 mins read
A A
0
Rais mpya wa Kenya kuapishwa leo
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Kenya's President William Ruto Vanquishes His Foes With Steel and Tears -  The New York Times

Baada ya mahakama kutoa uthibitisho juu ya ushindi wa William Ruto katika uchaguzi mkuu Kenya nafasi ya Urais, hii leo Ruto anaapishwa na kuanza kuhudumu katika nafasi hio akimpokea kijiti Rais Uhuru Kenyatta ambaye ndie anaachilia nafasi.

1966:William Samoei Kipchirchir Ruto alizaliwa mnamo Desemba 21 huko Sugoi, Uasin Gishu, na Daniel na Sarah Cheruiyot. Baadaye alijiunga na Shule ya Msingi ya Kerotet kabla ya kuendelea hadi Shule ya Sekondari ya na Shule ya Upili ya Wavulana ya Kapsabet

1991: Alimuoa Rachel Chebet na wanaishi Dagoretti, Nairobi. RaisDaniel Moi wakati huu alikutana na Ruto, mkutano ambao ulibadilisha misha yake.

1997: Anawania kiti cha ubunge na kuchaguliwa kuwa mbunge wa Eldoret Kaskazini, akimshinda aliye madarakani na mwenyekiti wa tawi la Uasin Gishu wa chama cha Kanu na waziri msaidizi Reuben Chesire, mshirika wa Moi. Baadaye aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa uchaguzi wa Kanu.

2012: Mahakama ya ICC mnamo Januari ilitangaza kwamba washukiwa wanne kati ya sita, akiwemo Ruto, Sang, Kenyatta na Francis Muthaura watakabiliwa na kesi ya kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka wa 2007

2013: Alichaguliwa Naibu Rais na kuapishwa Aprili 9 baada ya Jubilee kuishinda Cord katika uchaguzi wa Machi 2013, na kupata asilimia 50.07 dhidi ya asilimia 43.31 ya Bw Odinga. Ushindi unapingwa katika Mahakama ya Juu lakini ushindi huo unaidhinishwa.

2016: Kesi yake katika mahakama ya ICC yaporomoka mwezi wa Aprili, huku mahakama ikiamua kuwa hakuna ushahidi wa kutosha baada ya mashahidi muhimu kujiondoa. Mnamo Septemba, wakiwa na Kenyatta, wanabadilisha muungano wa Jubilee kuwa Jubilee Party kabla ya uchaguzi wa 2017. Alikuwa mgombea mwenza wa Kenyatta.

2017: Wakiwa na Rais Uhuru, walitangazwa washindi katika uchaguzi wa Agosti baada ya kupata asilimia 54 ya kura dhidi ya Nasa, inayoongozwa na Bw Odinga na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka. Mahakama ya Juu, hata hivyo, ilibatilisha uchaguzi huo na kuagiza uchaguzi mpya mwezi Oktoba. Nasa ilisusia uchaguzi mpya na wanatangazwa washindi kwa asilimia 98 ya kura zote zilizopigwa. Wanaapishwa mnamo Novemba 28, 2017.

2020: Mnamo Desemba, Chama cha Party of Development and Reforms kilibadilisha rasmi jina lake hadi United Democratic Alliance (UDA) na hatua hiyo inasemekana kupata baraka za Dkt Ruto kama chombo chake cha kisiasa cha 2022.

2021: Ajiunga rasmi na UDA na kuachana na bosi wake,Kenyatta kisiasa .

2022: Atangaza kuwa atagombea urais kwa tiketi ya UDA chini ya Muungano wa Kenya Kwanza.

Agosti 15, 2022: Atangazwa kuwa Rais Mteule na mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati baada ya kupata 7,176,141, ikiwa ni asilimia 50.49 ya kura zilizopigwa, dhidi ya mgombea urais wa Azimio Odinga 6,942,930 au asilimia 48.85.

Septemba 5, 2022: Mahakama ya Juu zaidi yathibitisha kwa kauli moja ushindi wake baada ya Bw Odinga na mgombea mwenza wake, Bi Martha Karua, kupinga matokeo ya uchaguzi.

Main Source: BBCSWAHILI

Tags: UCHAGUZI KENYA
ADVERTISEMENT
Previous Post

MSIMAMO WA LIGI KUU YA NBC BAADA YA RAUNDI 3 KUMALIZIKA

Next Post

TARAJIA MKUTANO WA BUNGE WA NANE KUANZA HIVI KARIBUNI

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

by ALFRED MTEWELE
January 26, 2023
0

Kampuni ya Meta imetangaza kufungua akaunti za Facebook na Instagram za Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump zilizokuwa zimefungwa...

Read more
Waziri Mkuu wa New Zealand Atangaza Kujiuzulu

Waziri Mkuu wa New Zealand Atangaza Kujiuzulu

January 20, 2023
YASTAAJABISHA: Marais 6 Waliongoza Taifa Moja Ndani ya miaka 4

YASTAAJABISHA: Marais 6 Waliongoza Taifa Moja Ndani ya miaka 4

December 12, 2022
RIPOTI YA TUHUMA KWA RAIS KUBATILISHWA

RIPOTI YA TUHUMA KWA RAIS KUBATILISHWA

December 6, 2022
Joe Biden aahidi ‘Hakuna Vita Baridi Vipya’ na China

Joe Biden aahidi ‘Hakuna Vita Baridi Vipya’ na China

November 15, 2022
Yaliojili Baada ya Rais Samia Kuwasili China

Yaliojili Baada ya Rais Samia Kuwasili China

November 3, 2022
Load More
Next Post
TARAJIA MKUTANO WA BUNGE WA NANE KUANZA HIVI KARIBUNI

TARAJIA MKUTANO WA BUNGE WA NANE KUANZA HIVI KARIBUNI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

February 1, 2023
Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

February 2, 2023
YANGA YATAMBULISHA JEZI MPYA KUTUMIKA SHIRIKISHIO,CAF

YANGA YATAMBULISHA JEZI MPYA KUTUMIKA SHIRIKISHIO,CAF

January 31, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 2,2023

February 2, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

February 3, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

February 3, 2023
SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

SERIKALI YATOA SIKU 7 KUEPUSHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KISA KELELE NA MITETEMO

February 3, 2023
PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

PRECISION AIR YATHIBITISHA NDEGE YAKE KUPATWA NA HITILAFU

February 3, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In