ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Tuesday, January 31, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Simbachawene Amuwakikisha Waziri mkuu Madhimisho ya Siku ya Wazee Duniani

Dodoma, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
October 4, 2022
in NEWS
Reading Time: 3 mins read
A A
0
Simbachawene Amuwakikisha Waziri mkuu Madhimisho ya Siku ya Wazee Duniani
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

May be an image of 7 people and people standing

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameziagiza mamlaka za Serikali za Mitaa kuwashirikisha Wazee kupitia mabaraza yao kushiriki kwenye vikao vya maamuzi kuanzia ngazi za vijiji na mitaa hadi Mabaraza ya Madiwani.
Akizungumza kwa niaba ya Mhe. Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene wakati wa maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Wazee yaliyofanyika Jijini Dodoma Oktoba 03, 2022.
Mhe. Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha Jamii inawatambua na kuwathamini wazee ikiwemo kuanzisha Kampeni ya mpishe Mzee kwenye maeneo mbalimbali ya kutolea Huduma.
“Kila Halmashauri iweke maeneo mazuri ya kukaa wakati wa mikutano ya mabaraza ya Madiwani na Wazee wanapo jadili mambo yao mzingatie Uzalendo na ujenzi wa maadili mema kwa watoto wetu” amesema Simbachawene
Simbachawene amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua Makundi muhimu hususani Wazee kwa kuanzisha Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa ajili ya kushughulikia Makundi hayo kwani kabla 
Makundi hayo yalikuwa ,yanakosa mahali maalum pa kupeleka Masuala yao .
Ameongeza kwamba, Serikali inaendelea kuelimisha jamii kuzingatia ulinzi na usalama kwa Wazee Kwa kuanzisha mabaraza ya wazee 20749 Kwa lengo la kuwapa fursa ya kujadili mambo yao na kuwa chombo cha kushauri Jamii.
Waziri Simbachawene ametumia nafasi hiyo kutoa Rai kwa viongozi na Wazee kuwa pamoja na kutumia mabaraza hayo kujadili Ustawi wao wahakikisha umoja na Jumuiya nyingine za Wazee zinatambuliwa na kusajiliwa katika maeneo yao na taarifa za utekelezaji wa mabaraza ya Wazee zijumuishwe kwenye kamati za Maendeleo ili mawazo yao yaweze kuzingatiwa na kufanyiwa kazi.
Ametoa wito kwa Jamii kushirikiana kuzuia ukatili kuliko kunyamaza na hatimaye kunung’unuka na kuombolea matukio yanapotokea.
 Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema maadhimisho hayo ni matokeo ya maamuzi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuanzisha Wizara hii.
May be an image of 7 people and people standing
May be an image of one or more people, people standing, outdoors and tree
Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
Previous Post

Benki ya NMB yazindua ATM Mpya ya Kubadilishia Fedha za Kigeni, Visiwani Zanzibar

Next Post

TANZANIA YAWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWASILIANO DUNIANI 2023 HADI 2026

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

by ALFRED MTEWELE
January 31, 2023
0

Karibu uweze kupitia habari kemkem zilizopewa kipaumbele katika kurasa za Magazeti ya leo Jumanne Januari 31,2023 kutokea jijini Dar es...

Read more
WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

January 30, 2023
Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

January 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

January 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

January 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

January 30, 2023
Load More
Next Post
TANZANIA YAWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWASILIANO DUNIANI 2023 HADI 2026

TANZANIA YAWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWASILIANO DUNIANI 2023 HADI 2026

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

January 26, 2023
HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

January 31, 2023
WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

January 30, 2023
Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

January 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

January 30, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In