ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Wafanyakazi wa Benki ya NMB waanza safari kupanda Mlima Kilimanjaro

iamkrantz by iamkrantz
October 10, 2022
in NEWS, SPORTS
Reading Time: 2 mins read
A A
0
Wafanyakazi wa Benki ya NMB waanza safari kupanda Mlima Kilimanjaro
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Ofisa Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) – Charles Ng’endo, akiwakabidhi rasmi bendera wafanyakazi wa Benki ya NMB watakayoipeperusha katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. Akishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini-Dismas Prosper (Mwenye tisheti ya bluu).
Msafara wa wafanyakazi wa NMB wanaopanda Mlima Kilimanjaro wakiwa katika picha ya pamoja na wenzao wa Matawi ya Moshi, waliofika kuwatakia kila la kheri kabla ya safari yao ya siku 7.

 

 

Ikiwa ni mwendelezo wa kuadhimisha mwezi wa huduma kwa wateja, wafanyakazi 6 wa Benki ya NMB jana wameanza safari ya siku 7 ya kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia geti la Machame ambapo wataipeperusha bendera ya benki hiyo katika kilele cha mlima huo.

 

Akizungumza katika hafla ya kuwaaga na kuwakabidhi rasmi bendera wafanyakazi hao, Ofisa Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA), Charles Ng’endo alisema kama Hifadhi ya KINAPA wamefarijika sana na utaratibu iliofanywa na NMB katika kuadhimisha mwezi huu muhimu wa huduma kwa wateja kwa kupanda Mlima Kilimanjaro, aidha wao kama hifadhi  watahakikishia kuwa wamewawekea mazingira mazuri na utaratibu mzuri wa kuwahudumia mpaka wanafika kileleni.

 

Aliongeza kuwa “kufanya hivi kunatusaidia kutangaza utalii wa ndani na tunafahamu hifadhi ya Taifa TANAPA na NMB tumekuwa na mahusiano ya karibu ya kibiashara na kiutoaji wa huduma kwa wananchi. Hivyo, kupanda Mlima Kilimanjaro na kufika kileleni kutaimarisha mahusiano kati yetu sote na kupeleka ujumbe kwa wateja wetu kuweza kutangaza utalii wa ndani,”

 

Nae Meneja wa benki hiyo Kanda ya Kaskazini-Dismas Prosper alisema kuwa, NMB kwa kutambua umuhimu wa sekta ya Utalii hapa nchini, waliona ni jambo la kifahari kusherekea mwezi wa huduma kwa wateja pamoja na wateja wao ambao wapo katika hii kwa kupandamlima Kilimanjaro ili kuutangaza mlima huo. Timu hiyo imepandishwa Mlima na kampuni ya Zara tours yenye uzoefu wa miaka mingi.

 

Akimalizia kuzungumza, kiongozi wa msafara huo wa wafanyakazi wa NMB ambaye pia ni Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa NMB – Alfred Shao alisema kuwa, NMB imefanya mambo mengi makubwa hapa nchini ikiwamo kuwa Benki bora na yenye masuluhisho mengi ya kifedha kwa wateja wao na kwamba wanataka kuwadhihirishia umma na wateja wao kuwa wanao uwezo wa kuwahudumia mpaka kilele cha Mlima Kilimanjaro na wajue wanamaanisha wanaposema ‘NMB Karibu Yako’.

 

Wengine waliopanda Mlima ni Nishad Jinah, Stella Motto, Reginald Baynit, Agnes Mlolele na Christopher Mwalugenge

 

 

 

 

 

 

Msafara wa wafanyakazi wa NMB wanaopanda Mlima Kilimanjaro wakiwa wameanza safari yao ya siku 7.
Tags: NMB
ADVERTISEMENT
Previous Post

ROYAL TOUR NA KUKUZA UTALII NCHINI

Next Post

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 10.10.2022

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

by ALFRED MTEWELE
February 9, 2023
0

Watu 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni...

Read more
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
MO DEWJI AIWAKIA VUNJABEI KUONDOSHA MATANGAZO YA MO JEZI MPYA

MO DEWJI AIWAKIA VUNJABEI KUONDOSHA MATANGAZO YA MO JEZI MPYA

February 8, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
Load More
Next Post
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 10.10.2022

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 10.10.2022

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In