Washindi wa kampeni ya Tisha na TemboCard kwa mwezi wa tisa waliofanya miamala mingi kwa kutumia kadi zao, kupitia hafla iliyofanywa na Benki ya CRDB wamekabidhiwa washindi mfano wa Hundi za Fedha Taslimu ndani ya eneo la GSM Salamander Tower ikiongozwa na mkuu wa kitengo cha kadi Bw. Farid Seif na kuhudhuriwa na wateja mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa benki ya hio.
Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma. Pichani, Meneja wa Kanda...
Read more