Msanii maarufu nchini Tanzania, Mwanzilishi na Mkurugenzi mkuu wa Label ya WCB Wasafi, Diamond Platnumz (Nasib Abdul) kupitia akaunti yake ya Mtandao wa kijamii wa Instagram aweka bayana kuhusu EP mpya ya msanii wake chini ya Lebo hio Mbosso (Mbwana Yusuph Kilungi) kwamba itakuwa ni EP kali sana ya kufunga mwaka, akidokezea pia moja ya wimbo alioshirikishwa uitwao “YATANIAUA”
YAMMI AFIKISHA VIEWS MIL.2 NDANI YA SIKU MBILI
Msanii YAMMI @yammitz kutoka Label ya #TheAfricanPrincess yake NANDY @officialnandy baada ya Video ya wimbo wake #Namchukia kutoka na Kufukisha...
Read more