ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MAKAMU WA RAIS ASISITIZA USHIRIKI KATIKA MICHEZO

Tanga, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
November 21, 2022
in SPORTS
Reading Time: 3 mins read
A A
0
MAKAMU WA RAIS ASISITIZA USHIRIKI KATIKA MICHEZO
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
May be an image of 5 people, people standing and outdoors
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Philip Isdor Mpango @dr_philip_isdor_mpango amewataka viongozi wa Taasisi, Mashirika na Makampuni wanachama wa SHIMMUTA kuhakikisha wanatenga fedha kila mwaka na kuwaruhusu watumishi wao kushiriki michezo hiyo na kutoa kipaumbele kama majukumu mengine muhimu ya kiofisi.
Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa Ufunguzi wa mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Mashirika Umma, Taasisi na Makampuni Binafsi nchini (SHIMMUTA) yanayofanyika katika Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga, tarehe 20 Novemba 2022. Pia amewasihi viongozi wa Taasisi, Mashirika na Makampuni Binafsi kuwaruhusu viongozi wa Kamati Tendaji ya SHIMMUTA washiriki kwenye vikao vya uongozi kila inapohitajika kwa maslahi mapana ya wafanyakazi na Taasisi hizo.
Makamu wa Rais amewahimiza viongozi na watumishi katika sehemu za kazi na watanzania kwa ujumla, kushiriki kwenye michezo, ili kuwa na nguvukazi yenye afya ya mwili na akili ambayo italeta matokeo chanya ya utendaji katika taasisi na kwa maendeleo ya Taifa. Amesema tafiti zinaonesha kuwa michezo ina faida kwa afya ya mwili na akili hivyo husaidia kuondokana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari na shinikizo la damu.
Aidha ametoa wito kwa Taasisi, Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi kuhakikisha wanafanya usafi, kupanda miti na maua katika maeneo yao ya kazi. Pamoja na kuendelea kushirikiana na Serikali kudhamini Programu mbalimbali zinazohusiana na maendeleo endelevu na utunzaji wa mazingira.
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Pauline Gekul amekemea vitendo vya taasisi kushirikisha wanamichezo wasiohusika katika michuano hiyo. Aidha ameagiza Baraza la Michezo la Taifa kufuatilia taasisi 50 ambazo hazijashiriki katika michuano hiyo kwa miaka miwili mfululizo.
May be an image of 11 people, people standing, outdoors and text that says 'MBE T IENDE MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI "Michezo nifursa, tuitumie vyema kuimarisha Afya za SHIMMUTA 2022 wafanyakazi kwa uchumi imara wa Taifa' Kazi iendelee Simu Bure: 0800110028 WCF und idia Stahiki Απνα Wakati'
May be an image of 15 people, people standing and outdoors
May be an image of 11 people, people standing and grass
May be an image of 13 people, people standing and outdoors
Tags: OFISI YA MAKAMU WA RAIS
ADVERTISEMENT
Previous Post

WAKURUGENZI NCHINI WATAKIWA KUIEPUKA HASARA

Next Post

WANAKIJIJI KUANZA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KARIBU, LEMOTI

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

MO DEWJI AIWAKIA VUNJABEI KUONDOSHA MATANGAZO YA MO JEZI MPYA

MO DEWJI AIWAKIA VUNJABEI KUONDOSHA MATANGAZO YA MO JEZI MPYA

by ALFRED MTEWELE
February 8, 2023
0

Mkurugenzi wa Makampuni ya METL Group na Mwekezaji wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji MO kupitia ukurasa wa Twitter wa...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
TRY-AGAIN AKUTANA TENA NA GIANNI INFANTINO, MOROCCO

TRY-AGAIN AKUTANA TENA NA GIANNI INFANTINO, MOROCCO

February 8, 2023
HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

February 7, 2023
NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

February 7, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

February 3, 2023
Load More
Next Post
WANAKIJIJI KUANZA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KARIBU, LEMOTI

WANAKIJIJI KUANZA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KARIBU, LEMOTI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In