ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Tuesday, January 31, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DK. GWAJIMA-WARAKA WA VIBOKO USAMBAZWE SHULENI

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
November 30, 2022
in NEWS
Reading Time: 3 mins read
A A
0
DK. GWAJIMA-WARAKA WA VIBOKO USAMBAZWE  SHULENI
0
SHARES
139
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

May be an image of 4 people, people sitting and people standing

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameiomba Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuusambaza waraka wa adhabu za viboko shuleni wa mwaka 2002 ili walimu na wanafunzi wauelewe.

Waziri Gwajima amesema hayo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya haki za watoto yaliyofanyika jijini Dar es salaam Novemba 29, 2022.
Amesema ukatili kwa watoto unaendana na kuudhuru mwili ikiwa ni pamoja na vipigo ikijumuisha adhabu ya viboko vilivyopitiliza mashuleni.
“Hivyo viboko vilivyopitiliza ni ukatili kwa watoto kwakuwa tunao Waraka na 24 wa mwaka 2002 unaosimamia adhabu za viboko mashuleni ambao unasema wazi ni nani mwenye Mamlaka yakutoa adhabu hiyo na viboko vingapi vinaruhusiwa na kwa utaratibu upi. Najua changamoto iliyopo ni usimamizi wa utekelezaji wa Waraka huo, baadhi ya Walimu hawaufuati wanapotoa adhabu, hawa walimu nawataka wabadilike vinginevyo sitamwaacha mwalimu asishtakiwe kwa sheria ya mtoto iwapo atatoa adhabu hiyo nje ya Waraka huo, sitamwacha” amesema Waziri Gwajima.
Aidha amewahakikishia watoto kwamba timu ya Serikali, wadau na jamii watakutana kuona namna nzuri ya kulishughulikia hoja ya viboko kwa kuzingatia maadili na tamaduni katika malezi.
“Inasikitisha kuona baadhi ya watoto wanaacha shule kwa sababu ya kukimbia viboko huku wengine wakipata majeraha makubwa na ulemavu na hata kupoteza maisha eti kwa sababu ya adhabu za viboko, hii haikubaliki kwani hii adhabu ya viboko haikulenga kusababisha mateso kwa watoto na ndiyo maana tunao Waraka”
Ameongeza kuwa Serikali itaziimarisha Kamati za Ulinzi wa Watoto na Wanawke na Madawati ya Ulinzi wa Watoto Mashuleni ili waufahamu Waraka wa Viboko waujue wasifanyiwe kinyume na wakibaini kuwa ni kinyume wapaze sauti haraka.
Waziri Dkt. Gwajima pia amewaonya wanaume wanaobaka na kulawiti watoto kuwa Serikali haiwezi kuvumilia vitendo hivyo na sheria itaendelea kuchukuliwa kwa wote watakaobainika.
Awali, watoto walioshiriki maadhimisho hayo wameeleza baadhi ya hoja zao kwa Waziri ikiwemo kuondolewa adhabu ya viboko shuleni.
May be an image of 1 person, sitting, standing and indoor
May be an image of 2 people, people standing and people sitting
May be an image of 2 people, people standing, indoor and text
Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
Previous Post

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatano 30.11.2022

Next Post

Tigo Yawasindikiza Kibabe Zaidi Washindi wa Promosheni ya Wakishua

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

by ALFRED MTEWELE
January 30, 2023
0

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa amempongeza Spika wa Bunge Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson kwa...

Read more
Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

January 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

January 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

January 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

January 30, 2023
Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

January 27, 2023
Load More
Next Post
Tigo Yawasindikiza Kibabe Zaidi Washindi wa Promosheni ya Wakishua

Tigo Yawasindikiza Kibabe Zaidi Washindi wa Promosheni ya Wakishua

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

January 26, 2023
HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

January 25, 2023
WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

January 30, 2023
Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

January 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

January 30, 2023
NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

January 30, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In