ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

VIONGOZI WATAKIWA KUIBEBA AJENDA YA UKATILI KWENYE VIKAO VYAO

Dar es Salaam, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
December 14, 2022
in NEWS
Reading Time: 4 mins read
A A
0
VIONGOZI WATAKIWA KUIBEBA AJENDA YA UKATILI KWENYE VIKAO VYAO
0
SHARES
4
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
May be an image of 13 people and people standing
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mh Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa viongozi hasa wa Kata, Vijiji na Mitaa kuifanya Ajenda ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto kuwa ya kudumu katika majukumu yao.
Waziri Dkt. Gwajima ametoa wito huo alipozungumza na wananchi wa Kata ya Chamazi, Wilaya ya Temeke, Mkoani Dar es salaam ambapo ameshiriki na wananchi hao kuhitimisha madhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kwa watoto yaliyofanyika kwenye Kata hiyo, Desemba 13, 2022.
Amefafanua kwamba viongozi wana wajibu wa kujadili na kutafuta ufumbuzi kuhusu masuala ya ukatili kama ilivyo kwa masuala mengine ya muhimu kwenye maeneo yao.
Aidha, ameupongeza uongozi wa Kata ya Chamazi chini ya uongozi wa Diwani wa Kata hiyo Mhe. John Gama, kwa kuwa wa kwanza nchini kutekeleza wito wa kuunganisha nguvu za wadau wote pasipo itikadi za kiimani wala kisiasa katika kujipanga kuimarisha mapambano.
“Ndiyo maana Kiongozi namba moja Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema suala la ajenda ya ukatili wa kijinsia, uwezeshaji kiuchumi tulibebe. Hivyo kila kiongozi wa kijamii huko aliko hahitaji kuandikiwa barua ya kutekeleza. Twendeni na Ajenda ya kijamii, twendeni tukayachambue haya mambo tujue tunaishi vipi” amesema Waziri Dkt Gwajima
Ameendelea kusisitiza kuwa bila kujadili Masuala ya kijamii, ukatili haiwezi kuisha. Hivyo amesisitiza mwaka 2023 uwe ni mwaka wa kufanya mapinduzi kwenye vipaumbele vya ajenda za vikao ngazi zote kuanzia mtaa/kata na Halmashauri hadi Taifa.
Waziri Gwajima amesisitiza kuwa, ajenda ya kutokomeza ukatili wa kijinsia na kwa watoto ikipewa kipaumbele sambamba na kutumika kwa haki ya kisheria ya Halmashauri kutunga sheria ndogo ni Dhahiri mambo mengi yanayochochea ukatili huu wa kijinsia na kwa watoto yanaenda kukoma.
Amehimiza kuwa, pamoja na kuhitimisha siku 16, za Kampeni hiyo inaanza Kampeni endelevu ya siku 365 hivyo, majeshi yote ya jamii ikiwemo SMAUJATA, SKAUTI, GIRLS GUIDE, Majukwaa ya Wanawake, Wajane, wenye Ulemavu, Vijana, Wazazi, Mabaraza ya Wazee na Watoto, Polisi Kata na Dawati la Jinsia, Wasaidizi wa Kisheria, Viongozi wa Dini, Mashirika yasiyo ya kiserikali, Watoa huduma za Tiba Asili na wengine kwa pamoja chini ya uongozi wa Kamati za MTAKUWWA wakaandae mpango kazi kulingana na mazingira yao kisha taarifa ya utekelezaji iwe inawasilishwa kwenye vikao vyote vya Halmashauri.
Ameongeza pia Halmashauri zione uwezekano wa kutunga sheria ndogo kudhibiti vichocheo vya ukatili huu kwani halmashauri hizo zinayo mamlaka hayo kisheria. Aidha, ametoa wito kila mmoja kuwajibika kwa sababu ufuatiliaji utafanyika ngazi zote.
Afisa Mtendaji wa Kata ya Chamazi Dafrosa Peter akitoa taarifa ya utekelezaji ya Kata amebainisha kuwa, mwezi Januari hadi Desemba mwaka huu, kata hiyo kwa kushirikiana wadau imepokea mashauri ya ukatili wa watoto 58 yakiwemo ya kingono 12,ya kudhuru mwili 19, utumikishwaji majumbani na maeneo mengine 15 ambapo, mashauri 12 kati ya hayo ymeshughulikiwa, 6 yanaendelea mahakamani na 3 tayari yamepatiwa hukumu.
Kwa upande wake Mkuu wa Dawati la Jinsia kituo cha Polisi mkoa wa Temeke Meckridige Mwingira amesema
Dawati hilo linafanya kazi na asasi za Serikali na zisizo za Serikali kutoa elimu katika shule za msingi na sekondari katika kata 10 za Wilaya hiyo na kubainisha makosa yanayoripotiwa hasa ni ubakaji, ulawiti, shambulio ya aibu, kutekeleza familia, ukatili wa watoto, ukatili dhidi ya wanaume.
Naye mmoja wa wananchi aliyeshiriki hitimisho hilo amewaasa wazazi kukaa karibu na watoto wao pamoja na changamoto zote za shughuli za kiuchumi wanazokumbana nazo.
MWISHO
May be an image of 11 people, people standing, outdoors and text that says 'KATI MKOMBOZI MONTESSORI PRE AND PRIMARY SCHOOL "WATOTO TUSEME TUNAYOYAONA,TUNAYOYASIKIA TUNAYOYASIKIA NATUNAYOFANYIWA ILI KUTOKOMEZA UXATILI DHIDI YETU".'
May be an image of 6 people and people standing
Tags: WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
ADVERTISEMENT
Previous Post

NMB yaimarisha mtaji wa rasilimali watu kupitia program ya Management Trainee

Next Post

ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

by ALFRED MTEWELE
February 9, 2023
0

Watu 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni...

Read more
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

February 8, 2023
Load More
Next Post
ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI

ARGENTINA YATINGA FAINALI KIBABE ZAIDI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In