Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba, amekabidhiwa ofisi rasmi na Gavana Mstaafu, Prof. Florens Luoga leo jijini Dodoma. Tukio hilo limeshuhudiwa na Naibu Gavana, Utawala na Udhibiti wa Ndani, Bw. Julian Banzi Raphael (kushoto) pamoja na Naibu Gavana, Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha, Bi. Sauda Kassim Msemo (kulia).
IRINGA ISIWE MAHALA PAKUTOLEA BEKI TATU, ISIFIKE KWA TAALUMA
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Daniel Chongolo, amepiga marufuku Mkoa wa Iringa kuwa sehemu ya kupata mabinti wa kazi...
Read more