Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba, amekabidhiwa ofisi rasmi na Gavana Mstaafu, Prof. Florens Luoga leo jijini Dodoma. Tukio hilo limeshuhudiwa na Naibu Gavana, Utawala na Udhibiti wa Ndani, Bw. Julian Banzi Raphael (kushoto) pamoja na Naibu Gavana, Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha, Bi. Sauda Kassim Msemo (kulia).
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023
Karibu uweze kupitia habari kemkem zilizopewa kipaumbele katika kurasa za Magazeti ya leo Jumanne Januari 31,2023 kutokea jijini Dar es...
Read more