Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, na kufanikiwa kupata bunduki moja aina ya AK47 ikiwa na magazine moja yenye risasi 25 na mabomu mawili ya kutupwa kwa mkono.
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI
Rais wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan, ameagiza dola milioni 100 zitolewe kwa ajili ya...
Read more