ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

iamkrantz by iamkrantz
January 25, 2023
in Uncategorized
Reading Time: 3 mins read
A A
0
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia mauzo bila kuwepo vituoni.
Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia mauzo bila kuwepo vituoni.

 

 

Na Mwandishi Wetu

Kampuni ya huduma za malipo ya Pesapal imeanzisha huduma mpya ya kusaidia kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta na mauzo ya nishati nyingine unaotumia teknolojia za kisasa na kufanya kazi kiotomatiki.

Viongozi wa kampuni hiyo wamebainisha kuwa lengo kuu la suluhisho hiyo ni hasa kuwasaidia wamiliki wa vituo hivyo kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi katika biashara ya reja reja ya mafuta.

Kupitia teknolojia hii, Pesapal imejipanga kuhakikisha hadi mwisho wa mwaka huu vituo 100 vya mafuta kwenye masoko ya Tanzania, Kenya na Uganda vitakuwa vinatumia mfumo huu mpya.

Kitaalamu na kibiashara suluhisho hili linajulikana kama  Pesapal Forecourt Management Solution (PFMS).

Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam, kampuni hiyo imesema PFMS ndilo jibu la takwa la wenye vituo vya mafuta la kuwa na muunganiko wa vifaa vya mauzo usiokuwa na hitilafu yoyote…

Pia PFMS ina uwezo mkubwa wa kusimamia na kufuatilia kwa karibu sana jinsi uuzaji mafuta unavyofanyika. Uwezo huu ndio unaipa suluhisho hii sifa ya kupunguza gharama za uendeshaji lakini pia kusaidia kuondokana na ulaghai huku ikiboresha namna wateja wanavyohudumiwa kwa mawanda mapana ya koungeza mauzo.

“Suluhisho ya PFMS inawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia bila kuwepo vituoni mauzo ya gesi na mashine za kujazia mafuta, mfumo wa vipimo vya matenki, bodi za bei na jinsi malipo yanavyofanyika,” Pesapal ilibainisha katika taarifa yake.

Mwezi Februari mwaka jana Pesapal ilipata kibali cha kutoa suluhisho jumuishi za malipo kwa vituo vya mafuta kutoka kwa jukwaa la kimataifa la viwango la IFSF. Taasisi hii ni jumuiya ambayo imejikita zaidi kufanikisha kuwepo teknolojia za viwango vya kimataifa kwa ajili ya kusaidia kuboresha uendeshaji wa vituo vya mafuta ya magari na nishati nyingine.

Akizungumza hivi karibuni kwenye utambulisho wa PFMS katika masoko ya ukanda huu, Afisa Mtendaji Mkuu wa Pesapal Limited, Bw Agosta Liko, alibainisha umuhimu wa kuufanya mchakato mzima wa usimamizi wa mafuta kuwa wa kiotomatiki.

Uwekezaji huu, kiongozi huyo alifafanua, hutengeneza mazingira mathubuti katika sekta ya reja reja ya mafuta na kuimarisha eneo mtambuka la biashara hiyo kwa hasa kupunguza gharama za uendeshaji na kuimarisha huduma kwa wateja.

Bw Liko alisema matumizi ya suluhisho ya PFMS ili kusaidia zaidi kurahisisha malipo kwenye vituo vya kuuzia mafuta yatafanyika kwa ushirikiano wa kimkakati kati ya Pesapal na wamiliki wa vituo husika.

“Katika nyanja inayobadilika kwa kasi kama hii ya usimamizi wa kuuza mafuta reja reja, zinahitajika suluhisho ambazo ni za kisasa na zinazoanzisha mienendo mipya ya kufanya mambo,” alisisitiza.

Kwa mujibu wa Meneja wa Pesapal Tanzania, Bi Bupe Mwakalundwa, pamoja na suluhisho yao kuwa bunifu zaidi pia inazingatia sana kuwapa wenye biashara ya vituo vya mafuta uwezo wa kuboresha huduma kwa wateja na kuwahudumia watu wengi kwa ufanisi mkubwa.

“Hii suluhisho uwapa wateja fursa ya kufanya manunuzi yao kwa mkupuo wa muamala mmoja, huku wasimamiaji wa vituo vya mafuta wakiwezeshwa kuidhinisha miamala haraka na kwa usalama,” Bi Mwakalundwa alinukuliwa katika taarifa ya Pesapal kwa vyombo vya habari.

Pesapal Limited ni kampuni kinara wa huduma za malipo inayohusika na zana za kuchakata malipo zikiwemo zile za kidijitali na kimtandao hususani kwa ajili ya mashirika ya kibiashara na taasisi nyingine zenye mwelekeo huo.

Pesapal ilianzishwa mwaka 2009 na kwa sasa hivi inafanya biashara katika nchini sita za Kiafrika ambazo ni pamoja na  Zambia, Zimbabwe and Malawi.

Kwa hapa nchini, imekuwepo tangu Julai mwaka jana baada ya kupata idhini ya Benki Kuu kutoa huduma za malipo yasiyohusisha pesa taslimu chini ya Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya Mwaka 2015.

MWISHO….

ADVERTISEMENT
Previous Post

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

Next Post

HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.
Uncategorized

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

by iamkrantz
January 25, 2023
0

      Benki ya NMB imepata nafasi ya kutembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye...

Read more
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

January 23, 2023
Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

January 23, 2023
NMB YAZIDI KUMWAGA  ZAWADI ZA #MASTABATA

NMB YAZIDI KUMWAGA ZAWADI ZA #MASTABATA

January 6, 2023
Askari Polisi Mtwara atwaa bodaboda NMB MastaBata

Askari Polisi Mtwara atwaa bodaboda NMB MastaBata

January 3, 2023
Load More
Next Post
HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

January 27, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

January 27, 2023
Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

January 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In