Waamuzi wa Ligi Kuu England (EPL) wameruhusiwa kusimamisha michezo ya ligi hiyo utakapokuwa unafika muda wa kufungulia swaumu, ili kutoa nafasi kwa wachezaji waumini wa dini ya Kiislamu kufungua funga yao kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
POCHETTINO AANZA NA JOAO FELIX AREJEE ATLETICO
Meneja mpya Chelsea Mauricio Pochettino tayari amemwambia Todd Boehly kuwa hataki mchezaji mwenye umri wa miaka 23 kwenye kikosi chake...
Read more