Mwimbaji Staa wa Bongofleva ambaye kwa sasa anatamba na ngoma mpya za ‘sawa’ na “na iwe kheri/Ramadhan Kareem’ Jay Melody amefunguka kwenye Exclusive ya AMPLIFAYA CloudsFM kwamba wimbo wake wa ‘Nakupenda’ ambao ulishika namba moja kwenye chati zote, umemuingizia zaidi ya Tsh. milioni 200.
POLISI WAPEKUWA NYUMBA KUFANYA UCHUNGUZI KIFO CHA TUPAC
Polisi katika jimbo la Nevada nchini Marekani wamepekua nyumba karibu na Las Vegas kuhusiana na mauaji ya rapa Tupac Shakur...
Read more