• Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Tuesday, September 26, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
Advertisement
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result

RIPOTI; WANAWAKE WAPO NYUMA KIDIJITALI

Dar es Salaam

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
May 3, 2023
in NEWS
Reading Time: 3 mins read
A A
0
RIPOTI; WANAWAKE WAPO NYUMA KIDIJITALI
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Dkt. Mpango ataka maoni dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 – Dar24Kwa miongo kadhaa, kumekuwepo na pengo kati ya wanawake na wanaume kwenye masomo yanayohusiana na Sayansi, Hisabati, Uhandisi, na Teknolojia (STEM).

Ripoti ya hivi karibuni ya GSMA zinaonyesha asilimia 86 ya wanaume nchini wanamiliki simu za mkononi ikilinganishwa na asilimia 77 ya wanawake.

Pia inaonyesha asilimia 17 ya wanawake wanapata huduma ya intaneti, na kwa wanaume ni asilimia 35. Utofauti huu wa ufikiwaji na mtandao wa intaneti unaonyesha changamoto kubwa kwa wanawake kwenye kupunguza pengo la ufikiwaji wa habari na mafunzo mtandaoni pamoja na maarifa ya kisasa ya kidigitali yatakayowawezesha kuwa washindani na kuendena na soko la sasa ambalo ni la kiuchumi wa kidigitali.

Suala hili lisipozungumziwa litabakia kuwa ndoto itakayo athiri uwakilishwaji zaidi wa wanawake kwa miaka ijayo katika masuala ya usimamizi na uongozi katika sekta mbalimbali.

Pengine inaweza kuwa ni hofu ya ripoti ya mwaka 2022 ya UNESCO inayoangazia jinsia, inayoonyesha idadi ya wanawake waliojiunga na masomo yanayohusiana na sayansi kati ya wanaume 100, imeongezeka kutoka 31 mwaka 2000 na kufikia 84 mwaka 2020 Tanzania, ikionyesha muelekeo chanya kuelekea kupunguza pengo lililopo.

 Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaonyesha mwaka 2022, wanawake walikuwa asilimia 51 ya idadi ya Watanzania wote. Wakati pengo la kijinsia linaonyesha ufikiwaji wa mafunzo ya kidigitali na Tehama kwa kiasi kikubwa limedhibitiwa na kukaribia nusu ya idadi ya watu wote, hii inamaanisha kwamba itakuwa ni vigumu kufikia malengo yajayo ya mahitaji ya sekta nzima.

Kwa wastani wa idadi ya usaili wa masomo ya elimu ya juu na chuo kikuu nchini kote ikiwa ni zaidi ya wanafunzi 524,000 kwa mwaka 2022, kwa mujibu wa takwimu za Tume ya Elimu ya Juu Tanzania (TCU), ni asilimia 3.4 pekee ya idadi hiyo inajumuisha wanawake katika masomo yanayohusu sayansi na takribani mara mbili ya wanaume kwenye masomo hayo.

Lakini hii sio changamoto kwa Tanzania au Afrika pekee kwa ujumla.

 

Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2017 inayojulikana kama ‘Cracking the Code: Girls’ and Women’s Education in STEM’ ya UNESCO, inaonyesha asilimia ya wanawake kwenye elimu ya juu wanaojifunza masomo ya sayansi ni asilimia 35 duniani.

Mwaka 2018, Vodacom Tanzania ilianzisha programu ya ‘Code Like a Girl’ ili kusaidia kuhamasisha wanafunzi wa kike kujifunza masomo ya sayansi (STEM) na kujua taaluma zinazohusiana nazo.

Programu hiyo imeeendelea kuendeshwa kwa miaka mitano na imewawezesha wanafunzi wa kike zaidi ya 1,700 wa kidato cha tano na sita kujifunza maarifa ya kutengeneza tovuti, aplikesheni, kuandaa ripoti za uwasilishaji, pamoja na kutumia vifaa vya Tehama ili kuendana na mahitaji ya soko la sasa la kidigitali. Programu inaendeshwa kwa kushirikiana na Tanzania Data Lab (dLab).

Kwa mujibu wa Vodacom, wakati matumizi ya teknolojia yamepelekea kuongezeka kwa kuzifikia huduma muhimu na kuboresha uzalishaji katika sekta tofauti, bado kuna uhitaji wa kuwawezesha wanawake na wasichana kunufaika kiukamilifu na mapinduzi ya kidigitali, bila ya kuzingatia umri, kabila, kipato, ulemavu, au sababu nyinginezo za kijamii ambazo zinaweza kukwamisha maendeleo yao.

Hii ilibainishwa mwaka 2021 wakati wa shughuli iliyoandaliwa na Ubalozi wa Canada nchini Tanzania, ambayo ilijikita kwenye kuendeleza maarifa ya kidigitali kwa wanafunzi wa kike.

Vodacom inaitumia teknolojia ipasavyo kuinufaisha jamii kwenye mikoa tofauti ya Tanzania, hususani kupitia jitihada zinazolenda kuwawezesha wanawake na wasichana. Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imeshirikiana na wataalamu mbalimbali na kuwekeza katika miradi yenye dhamira ya msingi ya kuwawezesha wasichana na wanawake. Mpaka sasa, zaidi ya wasichana 5,000 wamenufaika na programu mbalimbali za kidigitali ambazo zinatolewa na kampuni.

Akizungumza wakati wa mahafali ya kwanza ya programu ya ‘Code Like a Girl’ Februari mwaka huu, Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania, Vivienne Penessis alisema; “programu ya Code Like a Girl mwezi wa Februari inasherehekea kuwezesha mafunzo kwa wasichana zaidi ya 1,700 kwenye mikoa tofauti ya Tanzania ikiwa ni sehemu ya malengo yake ya kuhamasisha kupenda masomo ya sayansi na Tehama na kuwezesha maarifa ya kidigitali kwa wasichana wa umri kati ya miaka 14 mpaka 18 kwa siku nne.

Programu ilihusisha watoa mafunzo mashuhuri ambao ni mfano wa kuigwa kwa wasichana, kuwatia moyo kupenda teknolojia na fursa zinazoambatana nazo”.

Programu hii ilianzishwa ikiwa ni sehemu ya Vodacom kuhakikisha ujumuisha kwenye matumizi ya teknolojia na uunganishwaji katika zama ya kidigitali ambayo itakuwa ni vigumu kuwezekana kutokana na pengo la jinisia lililopo sasa, ukizingatia kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume nchini Tanzania.

Ripoti pia inaonyesha kuwa wasichana wadogo ni asilimia 25 pekee ya wanafunzi wacmasomo ya uhandishi au teknolojia ya mawasiliano na habari.

Kwa mujibu wa kituo cha habari cha IoL News ya mwaka jana, nchini Afrika Kusini pekee ni asilimia 13 tu ya wahitimu wa masomo ya sayansi ni wanawake.

Serikali ya Tanzania imejikita zaidi kwenye maendeleo ya elimu ya masomo ya sayansi ili kujiandaa na Dira ya Taifa ya mwaka 2050.

Hii itajenda uwezo wa kuhimili na kuendana na teknolojia ambayo itaongeza uzalishaji katika sekta zote za uzalishaji ikiwemo kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Hili liliwekwa wazi na Makamu wa Rais wa Dk Phillip Mpango wakati wa uzinduzi rasmi Dira ya Taifa ya 2050.

Tags: DIRA YA TAIFA 2050OFISI YA MAKAMU WA RAIS
ADVERTISEMENT
Previous Post

46 WAKAMATWA WAKATI WA MAANDAMANO JIJINI NAIROBI NA KISUMU

Next Post

RAIS MWINYI; SERIKALI ITAHESHIMU HAKI YA UHURU WA HABARI

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.
NEWS

Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

by iamkrantz
September 6, 2023
0

  Vodacom M-Pesa na Precision Air waemingia ushirikiano ambao utawawezesha wateja kukata tiketi ya ndege kupitia applikesheni ya M-Pesa Super...

Read more
NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

September 6, 2023
Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

August 29, 2023
NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

August 22, 2023
Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

August 21, 2023
USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

August 17, 2023
Load More
Next Post
RAIS MWINYI; SERIKALI ITAHESHIMU HAKI YA UHURU WA HABARI

RAIS MWINYI; SERIKALI ITAHESHIMU HAKI YA UHURU WA HABARI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

  • Trending
  • Comments
  • Latest
Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

September 25, 2023
Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

September 21, 2023
MILIKI BODA BODA NA NMB MASTA BATA KOTE

MILIKI BODA BODA NA NMB MASTA BATA KOTE

November 18, 2022
WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUSIER

WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUSIER

March 16, 2023
Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

September 25, 2023
Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

September 21, 2023
NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

September 19, 2023
Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

September 15, 2023
Facebook Twitter Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In