Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya kikao chake kilichofanyika Mei 4, 2023 pamoja na mambo mengine yaliosikilizwa kuhusiana na shauri la Mchezaji Feisal Salum aliyewasilisha malamiko ya kutaka vunja mkataba wake na Klabu ya Young Africans kupitia barua yake ya Machi 6, 2023, majibu yatolewa kama ifuatavyo;
Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.
Vodacom M-Pesa na Precision Air waemingia ushirikiano ambao utawawezesha wateja kukata tiketi ya ndege kupitia applikesheni ya M-Pesa Super...
Read more