Manchester United wako tayari kulipa pauni milioni 55 kumnunua kiungo wa Chelsea na England Mason Mount na nia yao kuzishinda Liverpool na Arsenal katika mbio za kuinasa saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (Mail)
Mount atajadili mustakabali wake wa Chelsea katika mkutano na uongozi wa klabu hiyo wiki ijayo. (90 Min)
Mount ataelekea Manchester United ikiwa Chelsea itaamua kumuuza. (The Atheletic- Usajili unahitajika)