Kiungo mahiri anayekipiga mnamo Klabu ya Azam FC, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu hio.
Hivyo, bado yupo kuhudumu kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.
Kiungo mahiri anayekipiga mnamo Klabu ya Azam FC, James Akaminko, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya klabu hio.
Hivyo, bado yupo kuhudumu kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026.
Tuliishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi...
Read more