ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 11, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Fastjet yaongeza safari Dar es Salaam – Nairobi

admin by admin
March 17, 2016
in Uncategorized
Reading Time: 7 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
                 
Dar es Salaam, Machi 15, 2016 – Shirika la ndege la gharama nafuu Afrika, Fastjet Tanzania limeongeza idadi ya safari zake  kwenye njia yake ya Dar es Salaam  na Nairobi ikiwa ni mwitikIo  mkubwa kwa mahitaji ya abiria.
Kuanzia Machi 21 fastjet itakuwa inafanya safari zake mara mbili kwa siku kwenda na kurudi  kati ya miji hiyo miwili  kila siku  ndani ya wiki na hivyo kufanya safari zake  kuwa ni 28 kwa wiki kati ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta  jijini Nairobi.
Shirika hilo ambalo hadi sasa  linafanya safari moja kila siku  kati ya miji hiyo miwili, limeongeza masafa yake ya kuruka  ili kuwapatia abiria huduma nzuri nyakati za asubuhi na jioni.
Kwenye safari ya asubuhi, ndege itakuwa inaondoka Dar es Salaam saa 12.00 na kutua Nairobi saa 1.20. Aidha, safari ya kurudi itaanza saa 1.50 na itatua Dar es Salaam saa 3.15.
Aidha, safari mpya za jioni ndege itakuwa inaondoka  Dar es Salaam saa 2.15 na kutua Nairobi saa 3.35. Safari ya kuridi ndege itaondoka Nairobi saa 4.05 na itatua Dar es Salaam saa 5.30.
Kupanuka kwa  ratiba hiyo kutawezesha kusafirisha takribani  abiria 19,000 kila mwezi  kupitia safari za fastjet  kati ya hiyo miji miwili, na hivyo kuwapa wasafiri njia nzuri zaidi  na mbadala wa safari kwa nauli wanayoimudu.
 “Kila mara tumekuwa tunaahidi  kuongeza masafa yetu ya  njia yetu kati ya Dar es salaam na Nairobi kutokana na mahitaji ya wateja kuongezeka kunakosababisha na nauli wanayoimudu, usalama, kasi na huduma kwa wakati,” alisema Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse.
Aliongeza: “Idadi ya watu jijini Dar es Salaam na Nairobi kwa pamoja ni zaidi ya milioni themanini  ambao wengi wao walishindwa kusafiri kwa ndege kutokana na ukubwa wa nauli  na hivyo tunaamini iliwatenga sehemu kubwa ywa watu dhidi ya usafiri wa anga lakini hivi sasa wana chaguo la ndege la uhakika na wanalolimudu.”
Corse anabainisha kuwa tangu fastjet ianze  kufanya safari zake  kati ya Dar es Salaam na Nairobi inakadiriwa kuwa theluthi moja ya abiria wake  ni mara yao ya kwanza  kutumia usafiri huo  ambao vinginevyo walikuwa wanashindwa kumudu nauli ya kusafiri kwa njia ya anga kati ya miji hiyo miwili.
 “Kutangazwa kwa safari 14 za ziada kwa wiki ikiwa ni miezi miwili tu baada ya fastjet kutangaza kuanza kwa safari za anga kati ya nchi  hizi mbili Januari 11, 2016 kunaonesha msisitizo wa kuongezeka kwa idadi ya wateja ambao wanaweza kuifikia usafiri wa anga wanaoumudu. Kwa hakikika hili linaonesha matokeo chanya kwenye maisha ya wananchi na hali kadhalika kwenye kukua kwa uchumi baina ya nchi hizi mbili,” alisema Corse.
Tiketi kwa ajili ya safari hizo za ziada  kutoka Dar es Salaam tayari ziko kwenye mauzo ambapo  nauli inaanzia  shilingi 168,000 za Tanzania kwa safari moja (bila kodi ya shilingi 102,900) kwa kuondokea Tanzania, ambapo fastjet inashauri abiria wake  kukata tiketi zao mapema kwa ajili ya siku wanayotaka kusafiri ili kunufaika na nauli zake za chini na nafuu.
Aidha, tiketi kwa ajili ya safari hizo za ziada kutoka Nairobi nazo tayari ziko kwenye mauzo, nauli zinaanzia  kwenye dola za Marekani  120 kwa njia moja (bila kodi ya dola za Marekani 40) kwa kuondokea Kenya, na vile vile fastjet inawashauri  abiria kukata tiketi mapema  kabla ya siku ya kusafiri ili kunufaika na tozo hiyo ya nauli ya chini.
 “Safari za ziada za kurudi jioni inamaanisha kwamba abiria wanaweza kupanga ama wakutane Dar es Salaam au Nairobi, na kusafiri hadi kwenye maeneo yao jijini na kurudi nyumbani siku hiyo hiyo,” anasema Corse na kuongeza, “njia hii na chaguo hili sahihi ni muhimu kwa abiria ambao ni wafanyabiashara ambao wanakuwa kwenye shinikizo la kubana muda na kuokoa gharama, na ambao  hawataki kulala nje ya maskani yao kwa siku moja au mbili.”
Matokeo ya safari za fastjet  kwenda na kurudi nchini Kenya  tayari ni makubwa ; ambapo Corse anadokeza kuwa  siku ambayo fastjet ilitangaza kuwa itaanzisha safari za anga kati ya Tanzania na Kenya kwa bei nafuu ilisababisha mashirika pinzani ya ndege kushusha nauli zao kwa asimilia 40.
 “Kimsingi ukweli unabakia kwamba ushindani ni mzuri kwa wateja. Huwapa chaguo  na husababisha nauli kushuka. Nauli wanayoimudu kunafanya iwe rahisi kwa wajasiriamali wengi, watalii na wageni wengine  kusafiri kati ya Tanzania na Kenya,” alisema Corse.
Hali kadhalika kitu kingine kilichopo kwenye njia hizi mbadala ni kuboresha mizigo inayobebwa na abiria wa fastjet, ikijulikana kama ‘Freighty’ ambayo inamruhusu abiria  kusafirisha  hadi kilo 80 kwenye mabegi yaliyokaguliwa kwa  shilingi za Tanzania 84,000. Njia hii mbadala kimsingi imekuwa maarufu  miongoni mwa wafanya biashara wanaosafiri na fastjet kwenye kununua  bidhaa za jumla za kimataifa  kwa ajili ya kwenda kuuza kwenye masoko yao ya nyumbani.
Ukataji wa tiketi unaweza kufanyika kwa njia ya mtandao www.fastjet.com, kupitia wakala wa usafiri  aliyethibitishwa na  fastjet au kwa kuwasiliana na fastjet  kwa njia ya simu +255 784 108 900.  Malipo kwa ajili ya tiketi yanaweza kufanyika kwa fedha taslim, kwa njia ya mtandao au malipo kwa njia ya simu za mkononi.
Mwisho
 
Kwa maelezo zaidi, wasiliana na:
Judith Shao-Frontline Porter Novelli
+255-658-870-116/+255-658-870-114

Email: Judith@frontline.co.tz
ADVERTISEMENT
Previous Post

Fastjet yaongeza safari Dar es Salaam – Nairobi

Next Post

HAFLA YA MCHAPALO WA UZINDUZI WA INTANETI YA KASI YA TIGO 4G LTE JIJINI MWANZA YAFANA

admin

admin

RelatedPosts

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini
BUSINESS NEWS

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

by admin
August 10, 2022
0

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biasharawa NMB- Bw. Filbert Mponzi(katikati) akizungumza kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mbeya....

Read more
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

August 7, 2022
Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

August 5, 2022
Load More
Next Post

HAFLA YA MCHAPALO WA UZINDUZI WA INTANETI YA KASI YA TIGO 4G LTE JIJINI MWANZA YAFANA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

August 5, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

August 5, 2022
Naibu Spika Zungu Achukua Kits Tayari kwa Kushiriki CRDB Marathon Msimu wa 3

Naibu Spika Zungu Achukua Kits Tayari kwa Kushiriki CRDB Marathon Msimu wa 3

August 11, 2022
SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

August 11, 2022
Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

August 11, 2022
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

August 11, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In