ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tigo yazindua jukwaa la kujifunza la mtandao wa SMS kwa shule za sekondari

admin by admin
March 22, 2016
in Uncategorized
Reading Time: 8 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkurugenzi Mtendaji wa  Shule Direct, Faraja K. Nyalandu (wa kwanza kulia) Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo  , Woinde Shishael(wa pili kulia), Mkuu wa Mfuko wa Human Development Innovation Fund (HDIF), David B. McGinty, (wa kwanza kushoto), Mwanafunzi aliyefanya vizuri katika  mtihani wa kidato cha nnemwaka 2015/16 kutokea shule ya wavulana Fezza ya jijini Dar es Salaam, Innocent Lawrence (wa pili kushoto) na Mkurungezi wa Tume ya sayansi na teknolojia Flora Ismail Tibazarwa (wa tatukushoto)wakitazama namna mfumo wa huduma mpya ya wanafunzi kujifunza kupitia ujumbe mfupi wa maandishi, MAKINI SMS unavyoweza kufanya kazi kupitia simu ya mkononi

Wanafunzi i wa shule ya sekondari Azania na wageni waalikwa wakishuhudia uzinduzi wa  wa jukwaa  la kielimu  la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza  kupitia mtandao  kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam. 


Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo  , Woinde Shishael (Wa kwanza kulia ) akizungumza na waandishi wa habari ,Pembeni yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa  Shule Direct, Faraja K. Nyalandu mara baada ya uzinduzi  wa jukwaa  la kielimu  la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kujifunza  kupitia mtandao  kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam. 
Mkurugenzi Mtendaji wa  Shule Direct, Faraja K. Nyalandu akizungumza na vyombo mara baada ya mara baada ya uzinduzi  wa jukwaa  la kielimu  la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza  kupitia mtandao  kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam. 



Wanafunzi wa shule ya sekondari Azania ya jijini Dar es Salaam wakielekezana namna ya kutumia  jukwaa  la kielimu  la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza  kupitia mtandao  kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini mapema mwishoni mwa wiki iliyopita ,Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika shule ya sekondari Azania Jijini Dar es salaam.

Kampuni  inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali Tigo Tanzania  kwa kushirikiana na asasi ya ndani inayofanya ujasiriamali kwa njia  ya mtandao, Shule Direct  imezindua  jukwaa  la kielimu  la SMS Makini ambalo litakuwa linatoa masuala mbalimbali ya kijifunza  kupitia mtandao  kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari nchini.
Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo  , Woinde Shishael alisema wakati wa hafla  ya uzinduzi huo kwenye Shule ya Sekondari Azania jijini Dar es Salaam leo kwamba SMS Makini zitawawezesha wanafunzi  kuzifikia zana za kujifunza kidijitali  kupitia mtandao na hivyo kuziba pengo lililopo  la rasilimali za kujifunzia  kwenye sekta ya elimu.
“Kupitia  matumizi ya SMS Makini watumiaji wa Tigo, na hususan wanafunzi na walimu wa shule za sekondari wataweza kuipata miuhtasari ya kidijitali, mafunzo, mazoezi, kupata maelezo pamoja na video moja kwa moja kupitia simu ya mkononi,” alisema Woinde.
Alieleza kwamba madarasa yatakayohusishwa  kwenye jukwaa hilo ni kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne  na kuongeza kuwa maelezo ya mafunzo yatakuwa yanazingatia mtaala wa elimu wa Tanzania ukihusisha masomo tisa.
Masomo hayo ni pamoja na Historia, Uraia, Jiografia. Fizikia, Kemia, Kiingereza, Hisabati na Kiswahili.
Kwa mujibu wa Woinde SMS Makini za Tigo pia zitawaunganisha walimu na wanafunzi na fursa ya kujadiliana, kushirikishana mawazo, kurejea, na kupakua mitihani iliyopita ya Baraza la Mitihani la Taifa na hali kadhalika kuwasiliana kwenye mtandao na wanafunzi 10,000 waliosajiliwa.
Wateja wa Tigo wataweza kuipata huduma hiyo bure kwa mwezi mmoja na baada ya hapo watakuwa wanatozwa ada ya siku ya shilingi 100 na ada ya  wiki ya shilingi 500, alisema Woinde.
Kuipata huduma hiyo  wateja wa Tigo wanatakiwa kutuma  neno ‘Makini’ kwenda namba 15397 na baadaye kufuata maelekezo yatakayokuwa yanatolewa.
Ushirikiano na asasi ya Shule Direct ni sehemu ya mkakati wa Tigo wa kuunga mkono miradi ambayo ina manufaa makubwa ndani ya jamii.
–          mwisho  –
ADVERTISEMENT
Previous Post

Washindi wa promosheni ya Kwea Pipa kwenda Barcelona watangazwa

Next Post

Tigo yazindua jukwaa la kujifunza la mtandao wa SMS kwa shule za sekondari

admin

admin

RelatedPosts

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
Uncategorized

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

by iamkrantz
January 25, 2023
0

Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia...

Read more
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

January 23, 2023
Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

January 23, 2023
NMB YAZIDI KUMWAGA  ZAWADI ZA #MASTABATA

NMB YAZIDI KUMWAGA ZAWADI ZA #MASTABATA

January 6, 2023
Load More
Next Post

Tigo yazindua jukwaa la kujifunza la mtandao wa SMS kwa shule za sekondari

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

January 27, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

January 27, 2023
Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

January 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In